Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Tuesday, March 20, 2012

PROF. IBRAHIM LIPUMBA AFUNGUA MKUTANO WA KAWAIDA WA BARAZA KUU LA CUF



Mwenyekiti wa Chama wananchi (CUF) Prof. Ibrahim Haruna Lipummba katikati akiongea na wajumbe wa baraza kuu la (CUF) katika ukumbi wa Lamada Hotel leo jijini Dar es salaam, katika ufunguzi wa mkutano wa kawaida wa baraza la chama hicho wa kwanza kutoka kulia ni Naibu katibu mkuu wa (CUF) Zanzibar Jusa Ismail , Katibu mkuu wa chama hicho na Makamu wa kwanza wa Rais Zanzibar Seif Sharif Hamad na kushoto ni mwenyekiti msaidizi Taifa Bw.Machano Khamisi Ally.
Baadhi ya wajumbe walioudhuria katika mkutano huo wakimsikiliza mwenyekiti wa chama hicho Prof Ibrahim Lipumba wakati alipokuwa akifungua mkutano huo. (PCHA NA PHILEMON SOLOMON WA FULLSHANGWE)

No comments :

Post a Comment