Mwenyekiti wa Chama wananchi (CUF) Prof. Ibrahim Haruna Lipummba katikati akiongea na wajumbe wa baraza kuu la (CUF) katika ukumbi wa Lamada Hotel leo jijini Dar es salaam, katika ufunguzi wa mkutano wa kawaida wa baraza la chama hicho wa kwanza kutoka kulia ni Naibu katibu mkuu wa (CUF) Zanzibar Jusa Ismail , Katibu mkuu wa chama hicho na Makamu wa kwanza wa Rais Zanzibar Seif Sharif Hamad na kushoto ni mwenyekiti msaidizi Taifa Bw.Machano Khamisi Ally.
BONDIA RAMADHANI MIGWENE AMUWEKEA MIKWALA ALBANO CLEMENT BAADA YA KUKIMBIWA
NA HABIBU PENGO
-
BONDIA RAMADHANI MIGWEDE baada ya kukimbiwa na mpinzani wake Habibu Pengo
aliesaini nae kuzipiga mara ya kwanza sasa amebadilishiwa mpinzani na
atacheza na...
2 years ago
No comments :
Post a Comment