Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Saturday, March 10, 2012

MICHUANO YA KOMBE LA (NSSF) YAZINDULIWA RASMI LEO, JAMBO LEO YAIBANJUA TBC 2-1

Nahodha wa timu ya Jambo Leo Said Mwishehe
akimkabidhi zawadi ya majarida ya Jambo mgeni rasmi Mh. Gaudensia Kabaka Waziri wa Kazi na Ajira mara baada ya kuzindua rasmi mashindano ya
kombe la NSSF kwenye viwanja vya TCC Sigara Chang'ombe jijini Dar es salaam leo
asubuhi.
Katika
mchezo wa soka auliokutanisha timu za Jambo Leo na TBC timu ya Jambo Leo ambao
ndiyo mabingwa watetezi wa kombe hilo wameibuka na ushindi wa magoli 2-1 dhidi
ya TBC hivyo kuanza vyema utetezi wa kubaki na kombe hilo.
Wachezaji wa TBC na Jambo Leo wakichuana vikali
katika mchezo huo kwenye viwanja vya TCC Sigara
Chang'ombe.
Timu zikisalimiana kabla ya kuanza kwa mchezo
huo.
Kwa upande wa Netboli timu za IPP na Mwananchi
Communication zikichuana vikali hata hivyo IPP wamekuwa washindi baada ya
kuikandamiza timu ya Mwananchi magoli 16-12 na kuibuka na ushindi.
Kikosi cha timu ya TBC kikiwa katika picha ya
pamoja.
Kikosi cha timu ya
Jambo Leo kikiwa katika picha ya pamoja

No comments :

Post a Comment