Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Friday, March 16, 2012

Naibu Katibu Mtendaji tume ya mipango aapishwa ikulu

Naibu Katibu
Mtendaji wa Tume ya Mipango Bwana Longinus Rutasitara akila kiapo mbele ya Rais
Dkt. Jakaya Mrisho Kikweteikulu jijini Dar es Salaam leo.Wapili
kushoto anayeshuhudia ni Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Ombeni Sefue na watatu
kushoto ni Karani wa Baraza la Mawaziri Bwana Gerson Mdemu.
Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete
akimrekebisha koti Naibu Katibu Mtendaji wa Tume ya Mipango Bwana Longinus
Rutasitara muda mfupi baada ya kumuapisha ikulu jijini Dar es Salaam leo asubuhi
.Kulia ni Makamu wa Rais Dkt.Mohamed Gharib Bilal aliyehudhuria hafla hiyo(picha
na Freddy Maro)

No comments :

Post a Comment