Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Friday, March 16, 2012

MISS WORLD SASA KUFANYIKA MWEZI WA NANE NCHINI CHINA

Mwenyekiti wa kamati ya mashindano ya Miss
Tanzania Bw.Hashim Lundenga katikati akiongea na waandishi wa habari leo katika
ukumbi wa Hadee's jijini Dar es salaam, juu ya mabadiliko ya uendeshaji wa
mashindano ya Miss Tanzania kuanzia mwaka huu kutokana na mabadiliko ya kalenda
ya kutafuta mrembo wa dunia ambayo mwaka huu yanafanyika mwezi wa nane nchini
china Kushoto ni mkuu wa itifaki Bw.Albert Makoye na kulia mtaalamu wa Miss
Tanzania Dr.Ramesh Shah.(PICHA NA PHILEMON
SOLOMON WA FULLSHANGWE)

Baadhi ya waandishi
wa habari waliodhuria katika mkutano huo

No comments :

Post a Comment