Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Thursday, March 15, 2012

FREE MEDIA QUEENS KUTUPA KARATA NYINGINE KWA TBC MICHUANO YA NSSF CUP 2012


Hiki ndiyo kikosi cha Free Media Queens
kitakachoshuka dimbani Machi 15 majira ya saa kumi na nusi alasiri katika
viwanja vya TCC Chang'ombe.

Kikosi hiki kinaundwa na wachezaji
kama
Amana Nyembo (GK), huku
Clezencia Tryphone(C) ‘Tasha’ Efracia Masawe(GS), Hellen Ngoromela(WD), Vicky
Kombe(WA), Hellen Mwilu(GA) pamoja na Ratifa(GD)

Khadija Kalili (GS) a.k.a
Messi , Irene Mark, Asha Bani, Marietha Mkoka,
Wengine ni Efracia Masawe(GS), Hellen
Ngoromela(WD), Vicky Kombe(WA), Hellen Mwilu(GA) pamoja na
Ratifa(GD).

No comments :

Post a Comment