Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Saturday, March 17, 2012

RAMADANI SHAULI, GABRIEL OCHIANG WAPIMA UZITO KWA AJILI YA MPAMBANO WAO KESHO


Mabondia Ramadhani Shauli wa Tanzania (kushoto)
na Gabliel Ochiang wa Kenya wakitunishiana misuli baada ya kupima uzito, Dar es
salaam LEO kwa ajili ya mpambano wao utakaofanyika KESHO katika ukumbi wa friens
Coner Manzese.
Bondia Ramadhani Shauli akipima uzito kwa ajili ya
mpambano wake na Gabriel Ochiang wa Kenya kulia

Mabondia Ramadhani Shauli wa Tanzania (kushoto)
na Gabliel Ochiang wa Kenya wakitunishiana misuli baada ya kupima uzito, Dar es
salaam LEO kwa ajili ya mpambano wao utakaofanyika KESHO katika ukumbi wa friens
Coner Manzese.

Baadhi
ya mabondia pamoja na viongozi wa mchezo wa ngumi wakiwa katika picha ya pamoja
baada ya kupima uzito leo
Bondia Gabriel Ochiang wa Kenya akipima uzito kwa
ajili ya mpambano wake na Ramadhani Shauli kushoto

No comments :

Post a Comment