Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Thursday, July 19, 2012

GLOBAL PUBLISHERS YACHANGIA MILIONI 10 UJENZI WA HOSTELI ZA WASICHANA NCHINI




Mkurugenzi Mtendaji wa Global Publishers, Eric Shigongo (kulia), akimkabidhi hundi ya shilingi milioni 10, Mkurugenzi wa Uhamasishaji wa Mamlaka ya Elimu nchini (TEA), Seif Mohammed.
Meneja Mkuu wa Global Publishers, Abdallah Mrisho (kushoto) akifungua hafla hiyo. Wengine pichani ni Eric Shigongo (kulia) na Seif Mohammed (katikati).
Mkurugenzi Mtendaji wa Global Publishers, Eric Shigongo (katikati) akisisitiza jambo katika hafla hiyo.
Seif Mohammed (kushoto), akiishukuru Global Publishers na kuwaomba wananchi wengine wajitokeze kuchangia mfuko huo.
Sehemu ya wanahabari waliokuwa kwenye hafla hiyo.
Wageni waalikwa katika hafla hiyo wakijisevia msosi.
Baadhi ya wanahabari wakipata lunch.

Kampuni ya Global Publishers & General Enterprises Ltd leo imetoa hundi ya shilingi milioni 10 ikiwa ni sehemu ya mapato yaliyopatikana kwenye Tamasha la Matumaini lililoandaliwa na kampuni hiyo kwa ajili ya kuchangia ujenzi wa hosteli za wasichana nchini. Kampuni hiyo imetoa hundi hiyo kwenye hafla fupi iliyofanyika katika Hoteli ya Atriums iliyopo Sinza jijini Dar es Salaam.

No comments :

Post a Comment