Wanenguaji
 wa Mashujaa Band, wakikamua jukwaani wakati wa shoo ya ufunguzi wa 
uzinduzi wa albam yao, ambao shoo hii waliicheza jukwaani bila 
kumalizika kutokana na matatizo ya umeme.
 'Mkaanga Chips' wa Mashujaa, akizicharaza Drams.
 Wanamuziki
 wa Bendi ya Mashujaa wakiingia kwa staili yao ya kucheza muziki wa 
Kihindi, wakati wa shoo yao ya pamoja, ambayo hata hivyo haikuweza 
kumalizika.
 Wanenguaji wa Mashujaa, wakikamua jukwaani..
 Makamuzi yakiendelea..
 Shoo ilikuwa ni tamu kwa kweli, lakini haikuwa na raha kutokana na karaha ya umeme.
 Mpiga Tumba wa bendi hiyo, MCD, akizicharaza tumba....
 Sehemu ya mashabiki wa VIP waliolipa kiingilio cha Sh. 100, 000 kila mmoja, wakiwa katika eneo lao la VIP.








No comments :
Post a Comment