Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Friday, July 20, 2012

EXTRA BONGO WATUA FINLAND KULA BATA


Jamani tunaondoka tiketi huoni hii hapa....

 

Wcheza shoo wa Bendi ya Extra Bongo, Super Nyamwela (kushoto) na Dager Boy wakiingia ndani ya Uwanja wa Julius Nyerere kuruka Ulaya
Otilia Boniphace akiwa na furaaaaaha wakati wakuingia Uwanjani tayari kurukaUlaya
Sawa wakaubwa kafanyeni mambo sifa ni kwa Tanzania nzima
Kinde (kushoto) akimuaga mke wake mara mbilimbili Otilia Boniphace kulia huku Hoseah katikati akimueleza kuwa atamlindia na atarudi salama namba ya simu kule haipatikani Baba
Hoseah, hivi ndio tunaondoka kweli? Oti, yaani wewe mpaka sasa huamini?
Athanas Motanabe,Duh Ulaya hiyooooooooo....
Duh kama ndoto,Sasa Extra Bongo tumeiva.....

.
Kwaherini Tanzania, kwahehi mashabiki wa Extra Bongo....

No comments :

Post a Comment