Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Friday, July 20, 2012

NGOMA AFRICA BAND YATUMA SALAM ZA RAMBI RAMBI KWA WALIOFIKWA NA MSIBA KATIKA AJALI YA MELI YA SKAGIT




Bendi ya Muziki "Ngoma Africa band" yenye makao yake nchini Ujerumani, Inatoa pole na rambi rambi kwa ndugu, jamaa, marafiki na Watanzania wote kwa ujumla waliopatwa na msiba kutokana na ajali ya meli ya MV Skagit, iliyotokea jana 18-7-2012 jirani na Kisiwa cha Chumbe, Zanzibar.

Ngoma Africa Band inaungana na watanzania wote walio nyumbani na nje ya nchi katika kipindi hiki kigumu cha msiba wa kitaifa, msiba huu ni wetu sote. 

Bendi hiyo imamua kutangaza rasmi kusimamisha maonyesho na matamasha yake ilkiwa ni sehemu ya kuomboleza msiba huo kwa muda wa wiki moja.

Mungu ibaraki Tanzania
Mungu Ibariki Afrika

No comments :

Post a Comment