Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Tuesday, July 3, 2012

TIGO WALIVYOFUNIKA KATIKA TAMASHA LAO MWISHONI MWA WIKI COCO BEACH, LAMUIBUA MR.NICE LAIBUA DOGO POTEZA MWENGINE, aPAGAWISHA MASHABIKI MPAKA WATOKWA MACHOZI. Dogo anaswaga za kufa mtu



Mashabiki wa muziki wa kizazi kipya wakiwa wamefurika  kwenye tamasha la Tigo lilifanyika jana kwenye viwanja vya Coco beach ambapo wasanii wachanga waliburudisha mashabiki hao, ambapo leo hii ni zamu ya wasanii wakongwe.

Shangwe za kufa mtu ziliibuka baada ya baadhi ya wasanii wachanga kukonga nyoyo za mashabiki hao.

Mambo ya vidole juu 'mambo ya pwani' nayo yalikuwepo wadada wakashindana kuvunja nyonga.

Hapa ndo fainali otea mshindi, ninani?

Na huyu ndiye aliyeibuka kidedea na kupigiwa mayowe na shangwe.

Mr.Nice aliibuka mbele ya mashabiki huku akipewa nguvu na Dogo poteza mpya kabisa kwenye fani ambapo alikonga nyoyo za mashabiki, hassa kwa swaga zake za ukweli.

Doko aliye waacha midomo wazi mashabiki wa muziki kwa kuonyesha uwezo mkubwa wa kutawala jumkwaa huku akiwa na swaga za ajabu hata mashabiki kumtabiria kufanya mambo makubwa zaidi kwenye kipindi kifupi tu kijacho.

Mr. Nice akiwashukuru mashabiki kwa kumrejesha tena kwenye fani.

Hapa Mr. Nice akiwapigia magoti mashabiki na kuwaomba wampokee tena wasimpotezee.

 SASA SHUHUDIA SWAGA ZA DOGO ALIYE IBUKA KWENYE TAMASHA LA TIGO JANA, LEO ATAPANDA TENA JUKWAANI HAPOHAPO COCO BEACH.

H.Baba naye aliendeleza makamuzi baada ya kufanya kazi hiyo miezi kadhaa mikoani.

Freee Staili Zipoooooooooooo!

Sema Eeeeeeeeeeeeeee Eeeeeeeeeeee.

No comments :

Post a Comment