Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Thursday, October 22, 2009

BINGO NENE MAJIMBO 8 KENYA

Washindi katika ligi ya timu za Majimbo 8 za soka watakuwa na sababu ya kufurahi baada ya ya wadhamini kuongeza Donge nono na kufikia shilingi Laki 3 za Kenya.
Waandaaji wa michuano hiyo Extreme Sports wamekutanisha timu kutoka Majimbo 8 zinazokutana jijini Nairobi wakiwa na nia ya kutambulisha na kukuza vipaji na kupandisha hali ya soka majimboni mwao.
Timu zitakazoibuka washindi katika kila eneo wa pili ataondoka na Elfu 60 shilingi ya Kenya na watatu ataondoka na Elfu 15 shilingi ya Kenya .
Waandaaji hao wamepokea cheki ya Ufadhili kutoka Moto Gari, Cellz Are Us na Lock 7 kampuni za mawasiliano shilingi za Kenya Laki 7 huku extreme sports ambao ni waandaaji wamesema kuwa wataeneza michuano hiyo katika sehemu nyingine za Nchi ya Kenya.
Michuano hiyo inayoibua vipaji mbali mbali imeanza kwa ju8mla ya timu 78 inatarajiwa kufikia fainali February mwakani.

No comments :

Post a Comment