Klabu ya Wekundu wa Msimbazi Simba imepinga vikali tuhumu zinazowakabili viongozi wa timu hiyo juu ya uchukuaji wa fedha wa kiasi cha shilingi milioni tatu kinyemela kutoka kampuni ya Push Mobile iliyopo hapa nchini.
Akizungumza na waandishi wa habari katika ofisi za timu hiyo Afisa habari wa Simba Cliford Mario Ndimbo amesema tuhuma hizo si za kweli isipokuwa anachokijua ni utaratibu wa kuchukua fedha kila baada ya miezi mitatu kama mkataba waliokubaliana na kampuni hiyo na huwa na watiaji saini wanne ambao ni Mwenyekiti, Katibu Mkuu na Mwahazini wawili.
BONDIA RAMADHANI MIGWENE AMUWEKEA MIKWALA ALBANO CLEMENT BAADA YA KUKIMBIWA
NA HABIBU PENGO
-
BONDIA RAMADHANI MIGWEDE baada ya kukimbiwa na mpinzani wake Habibu Pengo
aliesaini nae kuzipiga mara ya kwanza sasa amebadilishiwa mpinzani na
atacheza na...
2 years ago
No comments :
Post a Comment