Akizungumza na waandishi wa habari katika ofisi za timu hiyo Afisa habari wa Simba Cliford Mario Ndimbo amesema tuhuma hizo si za kweli isipokuwa anachokijua ni utaratibu wa kuchukua fedha kila baada ya miezi mitatu kama mkataba waliokubaliana na kampuni hiyo na huwa na watiaji saini wanne ambao ni Mwenyekiti, Katibu Mkuu na Mwahazini wawili.
IGP WAMBURA AMEPANGUA MAKAMANDA WATATU
-
Mkuu wa Jeshi la Polisi (IGP) Camillus Wambura amefanya uhamisho wa
Makamanda watatu, ambao ni Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi (SACP)
George Kat...
1 hour ago
No comments :
Post a Comment