Akizungumza na waandishi wa habari katika ofisi za timu hiyo Afisa habari wa Simba Cliford Mario Ndimbo amesema tuhuma hizo si za kweli isipokuwa anachokijua ni utaratibu wa kuchukua fedha kila baada ya miezi mitatu kama mkataba waliokubaliana na kampuni hiyo na huwa na watiaji saini wanne ambao ni Mwenyekiti, Katibu Mkuu na Mwahazini wawili.
TBN "TUNAISHUKURU WIZARA YA HABARI,UTAMADUNI, ,SANAA NA MICHEZO ""
-
"Tanzania Bloggers Network TBN tunatoa shukrani za dhati kwa Serikali ya
Jamhuri ya
Muungano wa Tanzania, chini ya uongozi mahiri wa Rais Dkt. Samia ...
14 hours ago
No comments :
Post a Comment