Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Tuesday, October 27, 2009

MTANGAZAJI WA RADIO TIMES FM AJITOSA UCHAGUZI TBF

Mgombea wa Kamishina wa watoto katika Shirikisho la Mpira wa Kikapu Taifa Selemani Semunyu (kushoto) mtangazaji wa Radio Times FM akirundisha fomu ya kugombea nafasi hiyo Dar es Salaam kwa Ofisa Kumbukumbu Mwandamizi wa Baraza la Michezo Tanzania (BMT) Adola Said.(Picha na Rajabu Mhamila)Selemani Semunyu wa pili kushoto, akizungumza neno na mdau mkuu wa viwanjani mwenye tisheti ya njano, pamoja na Adamu huseni mwenye tisheti nyekundu na Hussein Musa Mhassa wote wafanyakazi wa Radio Times FM.

No comments :

Post a Comment