Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Friday, October 23, 2009

SIMBA VS AZAM FC, MAJIMAJI VS AFRICAN LYON KUKIPIGA JUMAMOSI HII

Ligi kuu Tanzania Bara inataraji kuendelea kesho katika viwanja viwili tofauti, katika uwanja wa Uhuru Mnyama Simba atakuwa mwenyeji wa Azam Fc wakati wanalizombe Majimaji watawaalika Simba wa Afrika, African Lyon katika uwanja wa Majimaji Songea mkoani Ruvuma.
Tukianza kunako uwanja wa Uhuru Mnyama Simba ambaye ameweka kambi huko visiwani Zanzibar anatarajiwa kuwasili jijini kesho asubuhi kwa ndege tayari kwa mchezo huo na kisha kurejea kuendelea na mawindo dhidi ya Yanga hapo Oktoba 31.
Akizungumza na michezo Afisa habari wa klabu ya Simba Cliford Mario Ndimbo amesema wamefikia hatua ya kukodi ndege kufuatia ratiba ya mazoezi ya mwalimu kwa vijana hao wa msimbazi ambao hawajapoteza hata mchezo mmoja tangu kuanza kwa ligi kuu.Kwa upande wa Azam FC katibu mkuu wa klabu hiyo Twalibu Chuma ametamba wao watakuwa wa kwanza kuisimamisha klabu hiyo yenye maskani yake mtaa wa Msimbazi.
Wakati mashabiki wengi wengi wa kandanda jicho lao likiwa katika mchezo wa Simba na Azam Fc, klabu ya African Lyon imekiri ligi kuwa ngumu na kutamba wanauhakika wa kushinda mchezo wao wa kesho dhidi ya Majimaji.

No comments :

Post a Comment