Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Tuesday, October 6, 2009

SERENA WILLIAMS SASA NAMBARI MOJA DUNIANI KATIKA TENIS

Serena Williams amefanikiwa kuinyakua nafasi ya kwanza katika viwango vya Tenis Duniani baada ya kuibuka na ushindi katika mchezo dhidi ya Ekaterina Makarova katika hatua ya pili ya michuano ya wazi ya China ambayo inafanyika Beijing.
Williams mwenye umri wa miaka 28, alimchapa Mrusi huyo kwa seti 6-3 6-2 na kuchukua nafasi hiyo ya juu kwasababu amefanikiwa kusonga mbele zaidi kuliko aliyekuwa akishikilia nafasi ya kwanza Duniani Dinara Safina.
Mmarekani Williams saa moja lilitosha kumuondosha Makarova mwenye umri wa miaka 21.
Mcheza Tenis wa Urusi, Safina ambaye sasa anaumri wa miaka 23, alipoteza mchezo wake na Mchina Zhang Shuai katika mzunguko wa pili.
Serena Williams amesema amefurahi kupata nafasi hiyo kwasababu amekuwa akifanya juhudi kubwa mwaka huu kufika hapo.
ALiyekuwa akishikilia nambari 15 Duniani Maria Sharapova amefanikiwa kupanda baada ya kujitutumua kwa ushindi na kupanda hadi nafasi ya tatu baada ya kumchapa nambari tisa Duniani Victoria Azarenka kwa seti 6-3 6-7 7-5.

No comments :

Post a Comment