Jumla ya kura 209 zimempa nafasi Mshambuliaji wa Timu ya Azzam na timu ya Taifa ya Tanzamnia Taifa Stars John Bocco maarufu Adebayo kuwa mwanamichezo bora kwa mwezi Septemba Mewaka huu.
Akitaja matokeo hayo mbele ya waandishi wa habari ambao ndio waliopiga kura hizo Katibu Mkuu wa TASWA Kigoba Mgaya amesema John Bocco ameibika kidedea kati ya wagombea watatu waliochaguliwa na Waandishi ambapo ni Kocha Mkuu wa Timu ya Simba Patrick Phiri na Mwanariadha Mary Naali.
Wakati huohuo Mgaya ameongeza kuwa Tamasha la Waandishi wa Habari ambalo lilikuwa lifanyike Novemba moja mwaka kuu kuwa watatangaza utaratibu mzima itakavyokuwa hapo kesho kutwa.
BONDIA RAMADHANI MIGWENE AMUWEKEA MIKWALA ALBANO CLEMENT BAADA YA KUKIMBIWA
NA HABIBU PENGO
-
BONDIA RAMADHANI MIGWEDE baada ya kukimbiwa na mpinzani wake Habibu Pengo
aliesaini nae kuzipiga mara ya kwanza sasa amebadilishiwa mpinzani na
atacheza na...
2 years ago
No comments :
Post a Comment