Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Tuesday, October 27, 2009

JOHN BOCCO "ADEBAYOR" MCHEZAJI BORA SEPTEMBA

Jumla ya kura 209 zimempa nafasi Mshambuliaji wa Timu ya Azzam na timu ya Taifa ya Tanzamnia Taifa Stars John Bocco maarufu Adebayo kuwa mwanamichezo bora kwa mwezi Septemba Mewaka huu.
Akitaja matokeo hayo mbele ya waandishi wa habari ambao ndio waliopiga kura hizo Katibu Mkuu wa TASWA Kigoba Mgaya amesema John Bocco ameibika kidedea kati ya wagombea watatu waliochaguliwa na Waandishi ambapo ni Kocha Mkuu wa Timu ya Simba Patrick Phiri na Mwanariadha Mary Naali.
Wakati huohuo Mgaya ameongeza kuwa Tamasha la Waandishi wa Habari ambalo lilikuwa lifanyike Novemba moja mwaka kuu kuwa watatangaza utaratibu mzima itakavyokuwa hapo kesho kutwa.

No comments :

Post a Comment