Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Wednesday, October 28, 2009

BFT YAOMBA VIFAA KWA WADAU

Shirikisho la Ngumi Nchini BFT linaendelea kutoa wito kwa wadau na Wafadhili mbalimbali Nchini kulisaidia Shirikisho hilo kwa Vifaa vya michezo kwaTimu ya Taifa ambalo ni tatizo kubwa linalowakabili.
Katibu Mkuu wa Shirikisho hilo Makore Mashaga amesema kwa muda wa Mwezi Mmoja na nusu sasa Wachezaji wa Timu ya Taifa wanafanya mazoezi bila ya kutumia vifaa vya michezo ikiwermo Glovs na vinginevyo.
Wakati huo huo, Mashaga amesema kufuatia maagizo ya Kocha Mkuu wa mchezo huo wa Ngumi, wameamua kuzigawa timu katika makundi mawili ya A na B ili waweze kufanya mazoezi kwa nafasi.

No comments :

Post a Comment