Shirikisho la Ngumi Nchini BFT linaendelea kutoa wito kwa wadau na Wafadhili mbalimbali Nchini kulisaidia Shirikisho hilo kwa Vifaa vya michezo kwaTimu ya Taifa ambalo ni tatizo kubwa linalowakabili.
Katibu Mkuu wa Shirikisho hilo Makore Mashaga amesema kwa muda wa Mwezi Mmoja na nusu sasa Wachezaji wa Timu ya Taifa wanafanya mazoezi bila ya kutumia vifaa vya michezo ikiwermo Glovs na vinginevyo.
Wakati huo huo, Mashaga amesema kufuatia maagizo ya Kocha Mkuu wa mchezo huo wa Ngumi, wameamua kuzigawa timu katika makundi mawili ya A na B ili waweze kufanya mazoezi kwa nafasi.
BONDIA RAMADHANI MIGWENE AMUWEKEA MIKWALA ALBANO CLEMENT BAADA YA KUKIMBIWA
NA HABIBU PENGO
-
BONDIA RAMADHANI MIGWEDE baada ya kukimbiwa na mpinzani wake Habibu Pengo
aliesaini nae kuzipiga mara ya kwanza sasa amebadilishiwa mpinzani na
atacheza na...
2 years ago
No comments :
Post a Comment