
Mchezaji wa Zamani wa Yanga na timu ya Taifa (Taifa Stars) Ivo Mapunda akimlisha kipande cha Keki mke wake Bi.Elizabeth Madale kwenye ukumbi wa Golden Resort Sinza Dar es Salaam usiku wa kuamkia Jumamosi.Harusi ilifungwa katika Kanisa Katoliki Kurasini.

Mwanamuziki wa siku nyingi hapa nchini Ramadhani Massanja Banza Stone na mwimbaji Hasasani mabele wakiimba wakati wa harusi ya mwanamichezo Ivo Mapunda kwenye ukumbi wa Golden Resort Dar es Salaam.
Wallahi,nilifurahi siku hii kaka yangu Ivo alipofunga ndoa.....mbali na yote kwakweli waliweza kuchagua ukumbi maana tulijimwaga kila kona kwa raha zetu
ReplyDeletenilikuwa kwenye kamati ya vinywaji,kwakweli sijaona wahudumu wanaojituma kama wale
Heshima ya mahali choo,ukumbi ule mwanzo mwisho maliwatoni kusafi,kwakweli wamenifurahisha
mwenye hiana alambe sumu ila kaka yetu Ivo ndo kashaoa