Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Saturday, October 24, 2009

IVO MAPUNDA AUAGA UKAPELA

Mchezaji wa Zamani wa Yanga na timu ya Taifa (Taifa Stars) Ivo Mapunda akimlisha kipande cha Keki mke wake Bi.Elizabeth Madale kwenye ukumbi wa Golden Resort Sinza Dar es Salaam usiku wa kuamkia Jumamosi.Harusi ilifungwa katika Kanisa Katoliki Kurasini.Mwanamuziki wa siku nyingi hapa nchini Ramadhani Massanja Banza Stone na mwimbaji Hasasani mabele wakiimba wakati wa harusi ya mwanamichezo Ivo Mapunda kwenye ukumbi wa Golden Resort Dar es Salaam.

1 comment :

  1. Wallahi,nilifurahi siku hii kaka yangu Ivo alipofunga ndoa.....mbali na yote kwakweli waliweza kuchagua ukumbi maana tulijimwaga kila kona kwa raha zetu

    nilikuwa kwenye kamati ya vinywaji,kwakweli sijaona wahudumu wanaojituma kama wale

    Heshima ya mahali choo,ukumbi ule mwanzo mwisho maliwatoni kusafi,kwakweli wamenifurahisha

    mwenye hiana alambe sumu ila kaka yetu Ivo ndo kashaoa

    ReplyDelete