TBN "TUNAISHUKURU WIZARA YA HABARI,UTAMADUNI, ,SANAA NA MICHEZO ""
-
"Tanzania Bloggers Network TBN tunatoa shukrani za dhati kwa Serikali ya
Jamhuri ya
Muungano wa Tanzania, chini ya uongozi mahiri wa Rais Dkt. Samia ...
14 hours ago
Wallahi,nilifurahi siku hii kaka yangu Ivo alipofunga ndoa.....mbali na yote kwakweli waliweza kuchagua ukumbi maana tulijimwaga kila kona kwa raha zetu
ReplyDeletenilikuwa kwenye kamati ya vinywaji,kwakweli sijaona wahudumu wanaojituma kama wale
Heshima ya mahali choo,ukumbi ule mwanzo mwisho maliwatoni kusafi,kwakweli wamenifurahisha
mwenye hiana alambe sumu ila kaka yetu Ivo ndo kashaoa