Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Saturday, October 24, 2009

VINYOYA (BADMITON) WAHITAJI MSAADA KUUFUFUA NCHINI

Chama cha mpira wa Vinyoya Tanzania TBA kinawaomba wafadhili mbalimbali wajitokeze kusaidia mchezo huo ambao kwa sasa umeshaanza kupoteza ramani ili uweze kujulikana kama miaka ya nyuma.
Akizungumza na kipindi cha michezo cha Radio Times fm Katibu mkuu wa chama hicho Simon Maganga amesema wanashindwa kuandaa mashindano kutokana na kukosa fedha, na wakati mwingine kushindwa kupelekea hata mshiriki katika masdhindano ya Kimataifa yanayofanyika Nje ya Nchi.
Maganga ameongeza kuwa anatoa nafasi kwa watu wengine kugombea nafasi za kukiongoza chama hicho kwani tangu waanzishe hakuna uchaguzi wowote uliofanyika wa kuchagua Viongozi na anaamini wapo watu wenye uwezo zaidi yake.

No comments :

Post a Comment