Chama cha mpira wa Vinyoya Tanzania TBA kinawaomba wafadhili mbalimbali wajitokeze kusaidia mchezo huo ambao kwa sasa umeshaanza kupoteza ramani ili uweze kujulikana kama miaka ya nyuma.
Akizungumza na kipindi cha michezo cha Radio Times fm Katibu mkuu wa chama hicho Simon Maganga amesema wanashindwa kuandaa mashindano kutokana na kukosa fedha, na wakati mwingine kushindwa kupelekea hata mshiriki katika masdhindano ya Kimataifa yanayofanyika Nje ya Nchi.
Maganga ameongeza kuwa anatoa nafasi kwa watu wengine kugombea nafasi za kukiongoza chama hicho kwani tangu waanzishe hakuna uchaguzi wowote uliofanyika wa kuchagua Viongozi na anaamini wapo watu wenye uwezo zaidi yake.
BONDIA RAMADHANI MIGWENE AMUWEKEA MIKWALA ALBANO CLEMENT BAADA YA KUKIMBIWA
NA HABIBU PENGO
-
BONDIA RAMADHANI MIGWEDE baada ya kukimbiwa na mpinzani wake Habibu Pengo
aliesaini nae kuzipiga mara ya kwanza sasa amebadilishiwa mpinzani na
atacheza na...
2 years ago
No comments :
Post a Comment