Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Friday, October 9, 2009

ZAIN YAZINDUA SHINDA NA ZAP

Meneja Huduma za Zap wa Kampuni ya Zain Tanzania Bw. Deogratias Tarimo,(kushoto)Meneja Masoko wa Kampuni hiyo Bw.Costantine Magavilla na Meneja Huduma za Jamii Bi.Tunu Kavishe wakiwa wameshikilia kipeperushi kuashiria uzinduzi wa Promosheni Mpya ya 'Shinda na Zap' itakayofanyika kila Ijumaa.(Picha na Rajabu Mhamila)
Na Rajabu Mhamila
Kampuni ya Zainyazindua promosheni Mpya ya Shinda na Zap ambapo wateja wa kampuni hiyo wataewndelea kupata punguzo la asilimia 5 kwa kulipia huduma mbalimbali
Akizungumza na wahandishi wa habari makao makuu ya kampuni hiyo Kijitonyama Dar es salaam Meneja Masoko wa Kampuni ya Zain Tanzania Bwana Costantine Magavilla amesema kuwa Shinda na zAP imezinduliwa leo rasmi ambapo wateja wa Zain wataenderea kutuma,kupokea na kulipia huduma mbalimbali na kushinda.
Shinda na Zap ni promosheni mpya itakayowezesha wateja wa zain wanaotumia huduma ya zap kuweza kujishindia shilingi laki moja kila Ijumaa.
Ambapo wataendelea kuwazawadia wateja kwa huduma wanazozitumia ambapo huduma ya zain zap imekluwa na mafanikio makubwa kuanzia walipoizindua. na wanahamini wateja wao wana haki ya mtandao bora wenye uwigo mkubwa na huduma za kisasa zinazoweza kutumika popote siku na masaa yote.Ambapo mwaka jana walishughudia hudhinduzi wa hyduma yetu ya kuwazawadia wateja ijulikanayo kama Rewardz au zawadi kwa pesa wateja wetu wanazitumia katika simu zao
Na leo tunatoa sababu nyingine ya watanzania ya kuchagua kuenderea kutumia huduma za Zain kwa kukidhi maitaji yao ya mawasiliano Shinda na Zap itawawezesha wateja wa zain kuzawadiwa kwa kutumia huduma ya malipo kwa njia ya simu Zap
Ukiwa unatumia uduma za Zain ni sawa kuwa na pesa mkononi mwako wakati wowote alisema Magavilla jinsi ya kutumia huduma hii ni raisi sana na unachotakiwa kufanya ni kujiunga na huduma ya zap ambayo itakuwezesha
kutuma na kupokea fedha kutoka mtandao wowote nchini Tanzania kununuwa muda wa mahongezi na kutuma kwa mtu mwingine kulipia bili ya maji kulipia bili ya umeme Luku na kwa kila ijumaa kutakuwa na droo ambapo mteja mmoja atajishindia shilingi laki moja itakayoingizwa moja kwa moja kwenye akaunti yake ya Zap
huduma ya zap ilianzishwa mwanzoni kabisa mwa mwaka uhu na leo hii huduma hii ni huduma iliyo bora kabisa katika sekta ya mawasiliano

No comments :

Post a Comment