Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Saturday, October 17, 2009

GHANA MABINGWA WA DUNIA U-20

Vijana kumi wa Ghana wamefanikiwa kulitwa kombe la Dunia vijana chini ya umri wa miaka 20 kwa mikwaju ya penati katika mhcezo wa fainali dhidi ya Brazili.
Ghana, ambayo mchezaji wake Daniel Addo alitolewa kwa kadi nyekundu, baada ya kutolewa ilijiimarisha zaidi katika safu ya ulinzi na kukataa kufungwa na vijana toka Amerika ya Kkusini.
Walimaliza dakika tisini pamoja na muda wa nyongeza wakiwa zare ya bila kufungana, ingawa Brazili wanapaswa kujutia kwa makosa yaliyofanywa na Alex Teixeira kwa kushindwa kumalizia mpira uliyokufa.Emmanuel Agyemang-Badu ndiyo alikuwa shujaa wa Ghana na kuifanya kuwa taifa la kwanza toka bara la Afrika kwa kuitwaa uchampion wa michuano hiyo.
pande zote mbili zilikosa mkwaju mmoja wa penati katika mikwaju mitanop ya kwanza na kuzidisha wasi wasi kwa mashabiki wa pande zote mbili.

No comments :

Post a Comment