Vijana kumi wa Ghana wamefanikiwa kulitwa kombe la Dunia vijana chini ya umri wa miaka 20 kwa mikwaju ya penati katika mhcezo wa fainali dhidi ya Brazili.
Ghana, ambayo mchezaji wake Daniel Addo alitolewa kwa kadi nyekundu, baada ya kutolewa ilijiimarisha zaidi katika safu ya ulinzi na kukataa kufungwa na vijana toka Amerika ya Kkusini.
Walimaliza dakika tisini pamoja na muda wa nyongeza wakiwa zare ya bila kufungana, ingawa Brazili wanapaswa kujutia kwa makosa yaliyofanywa na Alex Teixeira kwa kushindwa kumalizia mpira uliyokufa.Emmanuel Agyemang-Badu ndiyo alikuwa shujaa wa Ghana na kuifanya kuwa taifa la kwanza toka bara la Afrika kwa kuitwaa uchampion wa michuano hiyo.
pande zote mbili zilikosa mkwaju mmoja wa penati katika mikwaju mitanop ya kwanza na kuzidisha wasi wasi kwa mashabiki wa pande zote mbili.
BONDIA RAMADHANI MIGWENE AMUWEKEA MIKWALA ALBANO CLEMENT BAADA YA KUKIMBIWA
NA HABIBU PENGO
-
BONDIA RAMADHANI MIGWEDE baada ya kukimbiwa na mpinzani wake Habibu Pengo
aliesaini nae kuzipiga mara ya kwanza sasa amebadilishiwa mpinzani na
atacheza na...
2 years ago
No comments :
Post a Comment