Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Saturday, October 17, 2009

UCHAGUZI MKUU YANGA JANUARI 2010

Mwenyekiti wa timu ya Dar es Salaam Yang African Bw. Imani Madega (kulia)akizungumza na waandishi wa habari Dar es Salaam kuhusu uchaguzi wa timu hiyo utakaofanyika Januari 3 mwakani, kushoto ni Katibu Mkuu wa timu hiyo Lawrence Mwalusako.
Akizungumza na kipindi cha michezo na burudani cha Radio Times FM Mwenyekiti wa klabu ya Yanga Imani Mahugira Madega amesema sababu kubwa za kurudishwa nyuma kwa uchaguzi huokufanyika may mwakani ni kwa ajili ya uchaguzi mkuu wa Rais na wabunge ambao unatarajiwa kufanyika Oktoba mwakani hivyo wameona bora warudishe nyuma uchaguzi wa Yanga kwa maslahi ya Taifa.

No comments :

Post a Comment