Akizungumza na kipindi cha michezo na burudani cha Radio Times FM Mwenyekiti wa klabu ya Yanga Imani Mahugira Madega amesema sababu kubwa za kurudishwa nyuma kwa uchaguzi huokufanyika may mwakani ni kwa ajili ya uchaguzi mkuu wa Rais na wabunge ambao unatarajiwa kufanyika Oktoba mwakani hivyo wameona bora warudishe nyuma uchaguzi wa Yanga kwa maslahi ya Taifa.
OFISI YA MSAJILI WA HAZINA YATWAA TUZO YA UANNDAAJI BORA WA TAARIFA ZA FEDHA
-
Na Mwandishi wa OMH
Dar es Salaam. Ofisi ya Msajili wa Hazina (OMH) imeibuka Mshindi wa Pili –
tuzo za Uandaaji Bora wa Taarifa za Fedha 2024 (Kundi la I...
12 hours ago
No comments :
Post a Comment