Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Thursday, October 29, 2009

WADAU WA VIWANJANI WAHITIMU ELIMU YA SEKONDARI

Mwanafunzi wa kidato cha nne Jesca Kailembo(kulia) akiwa na wenzake baada ya kumaliza sherehe fupi za mahafari ya kidato cha nne katika shule ya secondari ya kisutu jijini yaliyofanyika leo.Mwanafunzi wa kidato cha nne Jesca Kailembo( wa tatu kutoka kushoto)akiwa na baadhi ya ndugu zake katika sherehe fupi za mahafari ya kidato cha nne katika shule ya secondari ya kisutu jijini yaliyofanyika leo.Maunda (wa kwanza kushoto) akimkabizi wifi yake zawadi baada ya kumaliza sherehe fupi za mahafari ya kidato cha nne katika shule ya secondari ya kisutu jijini yaliyofanyika leo.Wazazi wa wanafunzi wa kisutu wakiwa katika mahafari hayo ya kidato cha nne yaliyofanyika Kisutu leo

No comments :

Post a Comment