Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Saturday, October 10, 2009

SERIKALI YA KENYA KUGHARAMIA SAFARI YA TIMU YA TAIFA YA TAEKWONDO

Hatimaye Serikali ya Kenya ameamua kusaidia timu ya taifa ya taekwondo katika michuano ya 21 ya Dunia huku chama cha mchezo huo nchini Kenya kilia na ukata.
Katibu mkuu wa chama hicho George Wesonga ameishutumu kamati ya IOlimpiki ya Kenya na kocha wa zamani kwa kutumia vibaya tiketi za wachezaji kwa kuchukua viongozi wengi kuelekea Denmark.
Amebainisha kwamba wamelazimika kuwaacha Mohamud Ali ambaye alitwa medali ya fedha mwaka 2007 katika michuano ya Dunia pamoja na Yahya Mohamed.
Wesonga sasa amemtaka waziri wa michezo wa Kenya Prof. Hellen Sambili kuingilia kati swala hilo na kuwapa nafasi wachezaji zaidi.
Timu ya taifa ya Kenya ya mchezo huo inatarajiwa kuondoka siku ya Jumanne wiki ijayo ikiwa ni siku moja kabla ya michuano hiyo kuanza.

No comments :

Post a Comment