Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Thursday, October 22, 2009

PERREIRA AKUTAMANI TENA SAUZI

Carlos Alberto Parreira amesema kuwa anaangalia uwezekano wa kupata ofa kurudi kuwa kocha wa Afrika ya Kusini.
Mkataba wa Afrika ya Kusini na kocha wa Raia wa Brazili Joel Santana umekwisha jumatatu iliyopita na Parreira anataka kupata ofa ya kurejea tena huko Bondeni.
"kuna nafasi kama kutakuwa na ofa, itakuwa makini kwangu kuangalia hiyo amesema Perreira.
"kuna viashiria kwa Wasauzi kubaki na shule ya Brazil itakayokaa katika soka la Afrika ya Kusini ameongeza Pereira.
Parreira aliiongoza Brazil kuutwaa ubingwa wa Dunia wa Mwaka 1994 alijiuzuru kama kocha wa Afriak ya Kusini mwaka uliopita mna kwenda kumhudumia mkewe aliyekuwa mgonjwa.
Ametanabaisha kuwa kazi huko Afrika Kusini itakuwa ngumu zaidi tangu nchi hiyo kutangazwa kuwa mwenyeji wa Kombe la Dunia la 2010.
Bafana Bafana wamepoteza michezo michezo 8 kati ya 9 ya kimataifa iliyopita.

No comments :

Post a Comment