Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Wednesday, October 21, 2009

SIMBA YA WATAKA YANGA WASITAFUTE MCHAWI

Klabu ya Simba ya Jijini Dar es Salaam imewataka wapinzani wao wa jadi Yanga kutowatupia lawama pale wanapopata tatizo na waangalie vizuri walipojikwaa na si walipoangukia.
Hayo yamesemwa na Msemaji wa Simba Cliford Ndimbo baada ya kupata taarifa kutoka Yanga kuhusu kufungiwa kwa mchezaji Moses Odhiambo na Amiri Maftah kumesababishwa na Simba.
Ndimbo amesema Ligi Kuu ya Mwaka huu imeendeshwa vizuri na makosa ambayo yanafanyika katika michezo mbali mbali inafanyiwa kazi na kutolewa maamuzi, hivyo amepongeza Shirikisho la kandanda Tanzania kwa kazi nzuri waliyoifanya katika Ligi inayoendelea.
Somba hadi sasa imejikusanyia jumla ya pointi 24 katika msimamo wa ligi kuu Tanzania Bara.

No comments :

Post a Comment