Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Friday, October 23, 2009

SERENGETI YAITAKA TAIFA STARS KUIFUNGA MISRI

Wadhamini wakuu wa timu ya Taifa ya Tanzania, Taifa Stars ambao ni watengenezaji wa Kinywaji cha Bia ya Serengeti wamesema watashirikiana bega kwa bega kuhakikisha Timu hiyo inawabwaga mafarao wa Misri katika mchezo wa kimataifa wa kirafiki utakaochezwa Novemba 5 mwaka huu Cairo, Misri.
Akizungumza na kipindi cha michezo na burudani cha radio Times FM Afisa uhusiano wa kampuni hiyo Teddy Mapunda amesema ijapokuwa taarifa ya mwaliko huo wameupata muda mfupi lakini watajitahidi kadri ya uwezo wao kuwapatia mahitaji muhimu wachezaji ili wapate ushindi kwenye mchezo huo.
Mapunda ameongeza kuwa atafurahishwa endapo Timu hiyo ya Misri itakubali mwaliko wa kuja Tanzania, kwani mbali na kuja kucheza lakini watawatembeza kwenye vivutio vyetu ili wajionee.

No comments :

Post a Comment