Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Saturday, October 24, 2009

TABLE TENNIS WAJIPANGA MASHINDANO YA KIMATAIFA

Katika kuhakikisha mchezo wa mpira wa Meza unakuwa hapa Nchini Chama cha mchezo huo TTTA kipo kwenye mchakato wa kujenga Meza kwa kutumia Saruji katika Shule za msingi za hapa Nchini ili kuukuza mchezo huo.
Akizungumza na kipindi cha michezo cha Radio Times fm Katibu Mkuu wa chama cha mpira wa Meza Tanzania Issa Mtaraso amesema mbali na jitihada hizo ambazo wanazo lakini wapo katika mikakati ya kushiriki mashindano mbalimbali Nje na ndani ya Nchi.

No comments :

Post a Comment