Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Sunday, October 25, 2009

KOMBE LA DUNIA U-17 NIGERIA 3-3 UJERUMANI

Wenyeji na mabingwa watetezi Nigeria wamemaliza mchezo wao na mabingwa wa Ulaya Ujeruamni kwa kutoka sare ya goli 3-3 katika mchezo wa ufunguzi wa fainali za Dunia chini ya Umri wa miaka 17.
Ujerumani iliwachukua dakika 22 kupata goli kupitia kwa mchezaji Lennart Thy na kuwanyamazisha mashabiki wa Nigeria.
Kama haitoshi dakika 16 baadaye waliongeza goli la pili kupitia kwa mchezaji Shkodran Mustafi.
Timu zote zilirejea uwanjani kwa kasi, lakini ilikuwa ni Ujerumani ambayo ilipata nafasi tena ya kufunga goli la tatu kupitia kwa mchezaji Mario Goetze na kufanya matokeo kuwa 3-0 katika dakika ya 47.
Mpira ulianza kugeuka kwa mabingwa watetezi kunako dakika ya 53 wakati Robert Labus alipompenyezea mpira Omoh Ojabu katika eneo la penati, na kupata penati na kupata goli la kwanza, kupitia kwa mchezaji Stanley Okoro katika dakika 54 wakati mchezaji Kenneth Omeruo akifunga goli la pili dakika tano baadaye.
Mchezaji aliyeingia kipindi cha pili Edafe Egbedi alifunga goli la tatu katika dakika ya 61 na kuwalazimu kugawana popinti.
Argentina sasa inaongoza kundi A baada ya kuichapa Honduras 1-0.
na katika kundi B Switzerland iliichapa Mexico 2-0.

No comments :

Post a Comment