Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Wednesday, October 7, 2009

WANASOKA WA ENGLAND WAFURIKA KUSHANGILIA KIKAPU LONDON

Luol Deng amefurahia mafanikio nyumbani kwao kufuatia Chicago Bulls kuitoa Utah Jazz katika michezo ya mwisho ya maandalizi ya ligi kuu ya mpira wa Kikapu nchini Marekani NBA mchezo uliyochezwa jijini London.
Nyota huyo wa kimataifa wa Uingereza alimaliza mchezo akiwa anaongoza kwa kunyakua jumla ya pointi 18 na kuifanya Chicago Bulls kushinda kwa vikapu 102-101 mbele ya mashabiki 18,689 waliyohudhuria kutazama mchezo huo.
Hata hivyo Chicago inapaswa kumshukuru zaidi James Johnson ambaye alifanya kazi kubwa kuhakikisha inashinda.
Hii ni mara ya tatu mfululizo klabu zinazoshiriki NBA kucheza michezo ya maandalizi ya msimu jijini London na imetajwa kusaidia kusukuma maandalizi ya michezo ya Olimpiki itakayofanyika mwaka 2012 katika jiji la London.
miongoni mwa mashabiki waliyojitokeza ni pamoja wachezasoka maarufu nchini Uingereza Jermain Defoe, Joe Cole, Sol Campbell, Darren Bent na Michael Dawson, bingwa wa kuruka chini ama triple jumper Phillips Idowu, Bondia David Haye, Nyota wa mchezo wa rugby Joe Worsley na Steve Borthwick na boy band JLS.

No comments :

Post a Comment