MPIGIE KURA SASA, KURA YAKO NDIYO SIFA KWA TAIFA LA TANZANIAMsanii Black Rhino amechaguliwa kuwa mmoja wa wasanii wanaoshindania tuzo za Afrika za Chanell O Music Awards 2009 akiwa ametajwa kwenye kategori mbili yaani MOST GIFTED EAST AFRICA VIDEO na MOST GIFTED HIP HOP VIDEO.Uongozo wa Chanel O ulitangaza majina ya wasanii wanaowania tuzo hizo kwa mwaka huu kwenye kikao cha wandishi wa jijini Johansburg Afrika Kusini ambapo msanii Black Rhino toka Tanzania alitajwa kuwa tuzo hizo mbili.
Black Rhino anawahimiza sana wa Tanzania waliyo ndani na nje ya nchi kumpigia kura nyingi ili aweze kuibuka mshindi, kwani kushinda kwake katika tuzo hizi kutailetea heshima kubwa Tanzania.
JINSI YA KUPIGA KURAMOST GIFTED EAST AFRICA VIDEO
tuma Nambari 13 E kwenda +27 83 92 0 84 00
MOST GIFTED HIP HOP VIDEO
Tuma Nambari 10F kwenda +27 83 92 0 84 00
Au unaweza pia kumpigia kura kwa kupitia www.channelo.tv au www.channelo.co.za au www.oboma.net
Tuzo za Channel O Music Video Awards 2009 zitafanyika Alhamisi Oktoba 29, 2009 Carnival City, Johanesburg Afrika Kusini.
Albamu ya Black Rhino inaitwa Usipipme inajumla ya nyimbo kumi na iliingia sokoni Februari 2008 na inasambazwa na GMC Mwananchi.
BONDIA RAMADHANI MIGWENE AMUWEKEA MIKWALA ALBANO CLEMENT BAADA YA KUKIMBIWA
NA HABIBU PENGO
-
BONDIA RAMADHANI MIGWEDE baada ya kukimbiwa na mpinzani wake Habibu Pengo
aliesaini nae kuzipiga mara ya kwanza sasa amebadilishiwa mpinzani na
atacheza na...
2 years ago
No comments :
Post a Comment