Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Tuesday, October 27, 2009

SERENGETI WASEMA TOTO NDIYO ILIYOWATENGA

Waliokuwa wadhaminui wakuu kwa miaka miwili wa timu ya Toto African ya Mwanza, ambao ni watengenezaji wa Bia ya Serengeti wamesema sababu kubwa ya kujitoa kuidhamini timu hiyo ni kutopewa ushirikiano wa kutosha na Viongozi wa klabu hiyo..
Akizungumza na kipindi cha michezo cha Radio Times FM Afisa uhusiano wa Kampuni hiyo Teddy Mapunda ametanabaisha kuwa mbali na kujitoa kwenye Udhamini huo lakini wanaendelea kuisaidia timu kwa kuwapa fedha ambapo wiki iliyopita waliwapa shilingi milioni 5 na wanategemea hivi karibuni kuwapa tena milioni tano.
Timu ya Toto African mpaka sasa inashika nafasi ya mwisho katika msimamo wa Ligi kuu Tanzania Bara ambapo katika michezo kumi iliyokwisha cheza imetoka sare michezo minne na kufungwa michezo yote na kujikusanyia pointi 4.

No comments :

Post a Comment