Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Wednesday, October 14, 2009

PASCHAL CASSIAN MSHINDI BONGO STAR SEARCH

Hapo vipi wangwana huyu ndiyo mshindi wa BSS toka mwalimu wa kwaya hadi Muziki wa Kizazi kipyaPaschal Kasian akkiwajibika na wimbo wa pili katika Shindano la BSSMshindi wa Mashindano ya kuinuwa vipaji vya uimbaji BSS Paschal Kasian akiwajibika wakati wa mashindano hayo yaliyofanyika Dar es salaam.(Picha na Rajabu MHamila)Brother AY kama kawa aliwakilisha vema kwa burudani katika fainali za BSSShaa naye hakuwa nyuma alipiga shoo ya ukweli, unajua huyu kadhamiria kuja kuwashikaSHAA akidance na wachezaji show wakeHuyu ndiye mshindi wa pili Peter Msechu akiwakilisha mkoa wa Kigoma katika Shindano la BSS, jamaa huyu naye si haba anavipaji kibao, Mapromota na wamiliki wa Bendi changamkieni Dili kabla hajarudi kwao kujipanga ohoo!Huyu ni Kelvin Mbati alishika nafasi ya tatu katika fainali ya BSS akiwakilisha DSM.Huyu ni Jackson George moja ya washiriki wa shindano la BSS ambaye alishika nafasi ya NneHuyu ni Betrice William alichukua nafasi ya tano katika BSS Final.

No comments :

Post a Comment