Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Friday, October 23, 2009

MALIASILI NA UTALII WAZURU CHUO CHA UTALII

WADAU WAKIPOZI KWA PICHA YA PICHA YA PAMOJAMtendaji Mkuu wa Chuo cha Taifa cha Utalii Nchini Bi.Agnes Mziray wa (pili kulia) na Mkurugenzi wa utafiti na mafunzo kutoka wizara ya Maliasili na Utalii Bw.Ibrahim Mussa wa tatu (kulia) pamoja na wadau wa sekta ya utalii wakitembelea jengo linaloendelea kujengwa la chuo hicho
lililopo makutano ya mtaa wa Shaban Robert na Samora Dar es Salaam jana.(Picha na Rajabu Mhamila)Fundi akiwaelekeza wadau wa UtaliiAbderrazak Sedouga Mtaalamu wa Sekta ya utalii akitoa maelezo kwa wadau

Mafundi wakiendelea na ujenzi katika jengo la chuo cha Taifa cha Utalii lililopo makutano ya mtaa wa Samora na Shaban Robert Dar es salaam jana kushoto ni Chales Joel na Hamisi Pambe.(Picha na Rajabu Mhamila)

No comments :

Post a Comment