Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Wednesday, October 7, 2009

ZAIN, MTV ZA TANGAZA MSHINDI WA TANZANIA WA SHINDANO LA MY VIDEO

Dar es Salaam, Oktoba 2009: MTV na Zain wamemtangaza kijana wa kitanzania Vanessa Bernard aliebuka mshindi katika shindano la tuzo za Muziki wa luninga wa afrika (MTV Africa Music Awards (MAMA) with Zain My Video contest).
Vanessa, mwanafunzi mwenye umri wa miaka 19- kutoka Dar es salaam, alimshinda Abel Aisaia na William Otuckall na kushinda tuzo za luninga yangu ya Tanzania (My Video title) – ilioandaliwa kusheherekea na kwawezesha waafrika wenye vipaji na wanaotaka kuwa mashuhuri kwenye soko la muziki.
Maelfu ya vijana wenye umri juu ya miaka 18s Afika nzima walishiriki katika mashindano na kuingia katika mashindano ya pili ya l My Video, yaliyozinduliwa na MTV na Zain mwaka 2008. Maelfu ya kura za SMS zilipokelewa kutoka kwa watanzania wakichagua mwimbaji wao wanaempenda na wakafikia washindani wa kwanza kumi.votes were received from music fans choosing their favourite singer before the contestants were whittled down to the final ten.
Vanessa ameshinda safari iliyolipiwa kushiriki tuzo za TV Africa Music Awards with Zain, yatakayofanyinka Nairobi Kenya tarehe 10 Oktoba 2009, na Vanessa anauwezekano wa kushida zawadi yake mwenye ya kikombe cha MAMAkatika hafla hiyo. Atashindana na washindi wnezake wengine kutoka nchi za, Ghana, Malawi, Kenya, Nigeria, Sierra Leone, South Africa, Uganda naZambia.
Kwa upande wake Vanessa alisema , ‘kwa kua katika washindi kumi wa tuzo za MAMA na washindi wengine ni ndoto yake kutimia ya kuwa mashuhuri katika muziki! Nina furaha kubwa kwa kuchaguliwa kwenda Kenya. Shukrani zangu za dhati ziwaendee Zain na MTV kwa kunipa fursa hii ya kuonyesha kipaji changu katika ulimwengu maridhawa’. Kutoka Tanzania kutakua na A.Y. na Professor Jay ni moja kati ya wasanii wengi watakao imba na kutembelea zulia jekundu pamoja na Vanessa katika tuzo hizi MAMA. Wasanii wengine watakao kuwepo ni pamoja na Akon, Wyclef Jean, Lizha James, Nameless, Blu3, the Mo Hits Allstars na Zebra & Giraffe.
MTV Africa Music Awards na Zain itaonyeshwa kwenye DStv na washarika wa mitandao wa MTV kama AIT (Nigeria), STV (Nigeria), CTV (Kenya), WBS (Uganda), TBC1 (Tanzania), TV3 (Ghana), ZNBC (Zambia) and RTGA (DRC) kuanzia tarehe 17 Oktoba 2009; pia itaonyeshwa kwenye huduma ya MTVNHD, MTV Network International’s high definition TV iliyozinduliwa mwezi Septemba 2008, na inayopatika na katika nchi 21 ulimwenguni (Argentina, Belgium, Caribbean Islands, Chile, Columbia, Denmark, Ecuador, Finland, France, Germany, Hungary, Israel, Netherlands, Norway, Poland, Russia, Sweden, Switzerland, Venezuela, Uruguay, UK & Ireland).

No comments :

Post a Comment