Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Thursday, October 29, 2009

GOFU - JOSEPH TINGO ASHINDA FIDDLE

Mcheza gofu Joseph Tango ameibuka kinara wa mashindano ya wiki hii ya Fiddle yaliyofanyika katika viwanja vya klabu ya Gymkhana jijini hapa
Tango ameibuka kinara kwa kupiga mikwaju pointi 38 katika mtindo wa Stable Ford katika mashimo kumi na nane.
Katika kundi A nafasi imekwanda kwa Idan Mziku mikwaju pointi 33, akifuatiwa na Laulence Pangani kutoka katika kundi B aliyepiga mikwaju pointi 37 huku Kei Mwakawago mikwaju point 36 kutoka kundi C akifuatiwa na mwadada Maniwe Pangani mikwaju pointi 37.
Mashindano hayo yenye lengo la kukuza nba kuendeleza mchezo huo hapa nchini yalikuwa na jumla ya washiriki 27 waliogawanyika katika makundi mbalimbali.
Wakatihuohuo, mashindano ya wazi ya Safari maarufu kama Safari Open yataanza kuvurumishwa jumamosi ya wiki viwanjani hapo.
Mashindano hayo ya siku mbili yatachezwa katika mtindo wa Stroken Play katika viwanja 18 na yatashirikisha wachezaji wote wanaoshiriki mchezo huo hapa nchini.
Hadi sasa washiriki zaidi ya 100 wamejiandikisha kushiriki mashindano hayo akiwemo Hamis Ally Idan Mziku na Jane Molell.

No comments :

Post a Comment