Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Wednesday, October 21, 2009

TANZANIA "TAIFA STARS" KUCHEZA NA MISRI

Timu ya Taifa ya Tanzania Taifa Stars inatarajiwa kucheza mchezo wake wa Kimataifa wa kirafiki na Mafarao wa Misri mchezo utakaochezwa nchini humo Novemba 5 mwaka huu.
Akizungumza na waandishi wa habari katika ukumbi wa Tff Afisa habari nwa Shirikisho hilo Florian Kaijage, amesema baada ya kupata mwaliko huo kikosi cha Taifa Stars kitatangazwa Jumanne Ijayo kujiandaa na mpambano huo, ukuzingatia timu hiyo ni Mabingwa wa Afrika mara mbili.
Kaijage ameongeza kuwa kuwepo kwa mechi ya Kimataifa ya Kirafiki baadhi ya michezo ya Ligi kuu itasogezwa mbele kutokana na wachezaji kuchelewa kurudi katika timu zao.

No comments :

Post a Comment