Timu ya Taifa ya Tanzania Taifa Stars inatarajiwa kucheza mchezo wake wa Kimataifa wa kirafiki na Mafarao wa Misri mchezo utakaochezwa nchini humo Novemba 5 mwaka huu.
Akizungumza na waandishi wa habari katika ukumbi wa Tff Afisa habari nwa Shirikisho hilo Florian Kaijage, amesema baada ya kupata mwaliko huo kikosi cha Taifa Stars kitatangazwa Jumanne Ijayo kujiandaa na mpambano huo, ukuzingatia timu hiyo ni Mabingwa wa Afrika mara mbili.
Kaijage ameongeza kuwa kuwepo kwa mechi ya Kimataifa ya Kirafiki baadhi ya michezo ya Ligi kuu itasogezwa mbele kutokana na wachezaji kuchelewa kurudi katika timu zao.
BONDIA RAMADHANI MIGWENE AMUWEKEA MIKWALA ALBANO CLEMENT BAADA YA KUKIMBIWA
NA HABIBU PENGO
-
BONDIA RAMADHANI MIGWEDE baada ya kukimbiwa na mpinzani wake Habibu Pengo
aliesaini nae kuzipiga mara ya kwanza sasa amebadilishiwa mpinzani na
atacheza na...
2 years ago
No comments :
Post a Comment