Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Sunday, October 11, 2009

MTV AFRICA MUSIC AWARDS 2009 - LIVE

Huyu ni Wycleff Jean akiwa amevua shati akifanya makamuzi katika MTV AFRICA MUSIC AWARDS 2009 tamasha lililodhaminiwa na ZAINSasa hapa Akon na Wycleff Jean sijui walikuwa wanashindana kuvua nguo? lakini ilikuwa ni mizuka ya Show BabkubwaEbwana Jamaa alifunika ile mbayaKama vile anaimba GheeeeeeeetoEbwana amini usiamini jamaa alikuwa anatembea katika vichwa vya watu huku akiimbaHuyu ni Msenegal aliyelowea Marekani akikamua vilivyoWycleff akkiwa na sare ua NyumbaniAkon uzalendo ulimsinda na kuamua kuvamia steji na kuimba na WycleffWanamuziki wa Bongo Manaona wanamuziki wa Mbele, jamani jifunzeni kutumia vifaa
Wycleff AKiimba na kupiga ngomaWycleff Jean akiimba na kupiga GitaaShoo ilikuwa Show kweli usifanye MasiharaHapa wasanii wote waalikwa wakiimba wimbo wa "WE ARE THE ONE" wa Michael Jackson ikiwa ni sehemu ya kutoa heshima kwa mkali huyo wa POP Duniani, Huyu alikuwa ni mtoto wa Lacky Dube akimuwakilisha Baba yakeEbwana Siunajua tena wasanii wakishajua Akon na Wycliff wapo ndani, ilikuwa ni full kubanjukaNameless akiteta na fans wake baada ya kuchukua TuzoBlue 3 kaziniEbwana Blue 3 nao si mchezo, waliwakilisha UgandaWatu Shemejiiiiiiimwanamuziki wa Kenya Amani akiwajibikaEbwana Brother katika majukwaa ya kimataifa huwa hafanyi makosaMzee wa Komesho anakamuaHuyu ni Wahu akifanya vitu vyake StejiniUkumbini mambo yalianza hiviAkon Akila pozi kwa ajili ya pichaAkon akipiga InterviewHuyu ni Akon aki Holla na Fans wakeNameless na wife wake Wahu wakitinga ukumbini kwa poziEbwana ingekuwa Arusha Ungesikia.. Chalii yangu amekuja na tororooHapa Wycleff anapiga interviewMkali toka New Jersey Wyclef Jean akitinga ukumbini kwa MbwembweShaa aki Holla na fan wakeShaa akihojiwa na moja ya Radio zilizokuwa zikirusha LiveHuyu anayecheka ni Shaa akihojiwa kulikoni amevaa nguo inayofanan na msaa wa Blue 3 wa UgandaDe` Banji toka Nigeria nao wakipiga interview kabla ya kuzama ukumbiniMkali wa Twister toka Uganda Navio naye akivuta hatua katika Red CapetMzee wa Comarcial akifanya interviw na media za KenyaEbwana AY mtoto huyoo naona anataka kumhugHuyu ni AY moja ya Nominees katika tuzu aki Holla na fans wakehapo vipi..? Hapo Sawa...Huyu ni Profesa Jay wa Mitulinga kama mamtoni mwanangu ana Halla na mashabiki katika Red Capet kabla ya kutinga ndaniHaya kina nanii si masista Duu ni wasanii jamaniVanessa Bernad alikuwa anaona kama ndoto vile na gauni lake jekundu ndaniHawa ni mashabiki wakisubiri kuwalaki wasanii langoni
watu weeeweeeeeeeeeeeHali ilivyokuwa nje ya uwanja mashabiki wakianza kuingia, Totozi zilikuwa za kwamwaga yaani ilikuwa kama Ulaya vileSwala la ulinzi na usalama wenzetu wanajali kuliko jambo lolote wa Tanzania mmeona?Hali ilivyokuwa uwanjani kabla ya shughuli yenyewe kuanzaHii ni Kenya mdau akielekea kunako tamashaOfisa Uhusiano na Mawasliano wa kampuni ya Zain Bi.Celin Njuju Chungu (kulia) na mratibu wa masoko maeneo ya mijini Ellen Lupilli, mshindi wa wa shindano la tuzo za muziki kutoka Tanzania Vanessa Bernad na mwanahabari Babra Hassan wakiwasili nchini Kenya...
Mpiga picha wa viwanjani.blogspot.com pamoja na magazeti ya Majira, Dar Leo na Spoti Starehe akitinga ndani ya Kenya Airways tayari kwa kufuatilia kinachoendelea katika tamasha la MTV AFRICA MUSIC AWARDS 2009

No comments :

Post a Comment