Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Saturday, October 31, 2009

SIMBA YAIRARUA YANGA

Kikosi kamili cha timu ya Soka ya Simba, wakiwa katika picha ya pamoja kabla ya mchezo wa Ligi Kuu ya Vodacom na Yanga, Dar es Salaam.
Klabu ya Simba imefanikiwa kuibuka na ushindi wa goli 1 - 0 dhidi ya Yanga katika mchezo wa ligi kuu TAnzania bara uliyochezwa leo katika uwanja mpya wa Taifa, Dar es Salaam.
Kocha Patrick Phiri akishangilia (kushoto) Mwina Seif Kaduguda katibu mkuu wa Simba (katikati) na Mwenyekiti wa klabu ya Simba Hassan Dalali (kulia)
Goli la dhahabu lilifungwa na mchezo Mussa Hassan Mgosi katika dakika ya 26 kipindi cha kwanza akiunganisha mpira wa krosi uliyopigwa na Dani Mrwanda.Ambani Mshambuliaji wa Yanga Boniface Ambani akichuana na na Joseph Owino, wakati wa mchezo wa Ligi Kuu ya Vodacom, uliochezwa Uwanja wa Taifa Dar es Salaam. Simba ilishinda 1-0.Mwenyekiti wa Yanga Iman Madega, akipita mbele ya mashabiki wa timu yake kuhamasisha ushindi, wakati wa mchezo wa Ligi Kuu ya Vodacom kati ya timu yake na Simba, Uwanja wa Taifa Dar es Salaam. Simba ilishinda 1-0.Mshambuliaji wa Yanga Jerison Tegete akiwa ameketi chini ya Uwanja wa Taifa Dar es Salaam baada ya timu yake kufungwa bao 1-0 na Simba wakati wa mchezo wa Ligi Kuu ya VodacomKikosi kamili cha timu ya Soka ya Yanga kilichofungwa bao 1-0 na Simba Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.

No comments :

Post a Comment