Siku ya Alhamisi kocha Mserbia Kosta Papic alitiliana saini na klabu ya Yanga kwa kusaini mkataba wa mwaka mmoja, kocha huyo ameanza rasmi kazi Ijumaa, Yanga imefikia hatua hiyo kufuatia kumalizika mkataba kwa kocha Dusan Kondic, mkataba ambao utamalizika Novemba 15 mwaka huu.katikati pichani ni Mwenyekiti wa klabu ya Yanga Imani Mdega
OFISI YA MSAJILI WA HAZINA YATWAA TUZO YA UANNDAAJI BORA WA TAARIFA ZA FEDHA
-
Na Mwandishi wa OMH
Dar es Salaam. Ofisi ya Msajili wa Hazina (OMH) imeibuka Mshindi wa Pili –
tuzo za Uandaaji Bora wa Taarifa za Fedha 2024 (Kundi la I...
12 hours ago
No comments :
Post a Comment