Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Saturday, October 17, 2009

KOSTA PAPIC ASAINI MKTABA KUIFUNDISHA YANGA

Siku ya Alhamisi kocha Mserbia Kosta Papic alitiliana saini na klabu ya Yanga kwa kusaini mkataba wa mwaka mmoja, kocha huyo ameanza rasmi kazi Ijumaa, Yanga imefikia hatua hiyo kufuatia kumalizika mkataba kwa kocha Dusan Kondic, mkataba ambao utamalizika Novemba 15 mwaka huu.katikati pichani ni Mwenyekiti wa klabu ya Yanga Imani Mdega

No comments :

Post a Comment