Siku ya Alhamisi kocha Mserbia Kosta Papic alitiliana saini na klabu ya Yanga kwa kusaini mkataba wa mwaka mmoja, kocha huyo ameanza rasmi kazi Ijumaa, Yanga imefikia hatua hiyo kufuatia kumalizika mkataba kwa kocha Dusan Kondic, mkataba ambao utamalizika Novemba 15 mwaka huu.katikati pichani ni Mwenyekiti wa klabu ya Yanga Imani Mdega
DKT.NCHIMBI KUMUWAKIILISHA RAIS MAZISHI YA BI SUZANA MAGUFULI
-
Makamu wa Rais, akisaini kitabu cha maombolezo nyumbani kwa marehemu,Bi
Suzana Magufuli, Kilimani Chato, pamoja na kuwafariji wafiwa kufuatia
msiba...
2 days ago
No comments :
Post a Comment