
Msimamizi wa Uchaguzi Msaidizi Mtaa wa Yombo Kata ya Kiwalani, Bw. Ignes Maembe (kushoto) akimkabidhi fomu ya kugombea uwenyekiti wa mtaa wa Yombo,Bw. Athumani Maembe Dar es salaam jana wa pili kushoto ni Katibu mwenezi wa CCM wa kata hiyo Bi.Rahma Mnyachi na Diwani wa kata hiyo Bw.Said Abdallah.(Picha na Rajabu Mhamila)
No comments :
Post a Comment