NATAFUTA PEEEEEESA, EEEEEEEEH ASHAA...
JAMANI TUKAMUUNGE MKONO TID KATIKA UZINDUZI WA SAUTI YA JELA (PRISON VOICE)
Msanii wa muziki wa kizazi Kipya Khalid Mohammed TID akiimba mbele ya waandishi wa habari wakati akizungumzia uzinduzi wa albamu yake mpya ya SAUTI YA JELA (PRISON VOICE) uzinduzi ambao utafanyika siku ya Jumapili katika ukumbi wa klabu Bilicanas jijini Dar es Salaam, kushoto ni meneja masoko wa klabu hiyo Antoni KizitoMsanii Khalid Mohamed 'tid' akiangali blog ya viwanjani wakati alipotambulisha uzinduzi wa albamu yake ambao utafanyika jumapili katika clabu ya bilicanas jijini Dar es salaam.(Picha na Rajabu Mhamila super D Mnyamwezi)
BONDIA RAMADHANI MIGWENE AMUWEKEA MIKWALA ALBANO CLEMENT BAADA YA KUKIMBIWA
NA HABIBU PENGO
-
BONDIA RAMADHANI MIGWEDE baada ya kukimbiwa na mpinzani wake Habibu Pengo
aliesaini nae kuzipiga mara ya kwanza sasa amebadilishiwa mpinzani na
atacheza na...
2 years ago
No comments :
Post a Comment