Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Thursday, October 8, 2009

TID KUZINDUA SAUTI YA JELA JUMAPILI CLUB BILICANAS

NATAFUTA PEEEEEESA, EEEEEEEEH ASHAA...
JAMANI TUKAMUUNGE MKONO TID KATIKA UZINDUZI WA SAUTI YA JELA (PRISON VOICE)
Msanii wa muziki wa kizazi Kipya Khalid Mohammed TID akiimba mbele ya waandishi wa habari wakati akizungumzia uzinduzi wa albamu yake mpya ya SAUTI YA JELA (PRISON VOICE) uzinduzi ambao utafanyika siku ya Jumapili katika ukumbi wa klabu Bilicanas jijini Dar es Salaam, kushoto ni meneja masoko wa klabu hiyo Antoni KizitoMsanii Khalid Mohamed 'tid' akiangali blog ya viwanjani wakati alipotambulisha uzinduzi wa albamu yake ambao utafanyika jumapili katika clabu ya bilicanas jijini Dar es salaam.(Picha na Rajabu Mhamila super D Mnyamwezi)

No comments :

Post a Comment