
Mbunifu wa Mavazi, Mustafa hassanali (kulia)akizungumza na waandishi wa habari dhidi ya tamasha la SWAHILI FASHION, kushoto ni meneja udhamini wa kampuni ya Vodacom George Rwehimbiza

Meneja udhamini wa kampuni ya Vodacom George Rwehimbiza akimpongeza mwanahabari Dina Zuberi baada ya kuibuka mshindi katika bahati nasibu ya papo hapo iliyofanyika leo wakati wa utambulisho wa swahili fashio. picha na Rajabu Mhamila a.k.a Super D Mnyamwezi
No comments :
Post a Comment