Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Friday, October 23, 2009

TENGA - WAAMUZI WALA RUSHWA HAWANA NAFASI

Shirikisho la soka Nchini Tff limesema kwa sasa watakuwa wakali kuhakikisha Waamuzi wanachezesha mpira kwa haki kutokana la suala hilo kuzidi kukithiri katika soka nchini Tanzania.
Akizungumza na waandishi wa habari katika ukumbi wa Tff Rais wa Shirikisho la kandanda hapa nchini Leodga Chilla Tenga amesema Waamuzi ambao hawatachezesha mpira vizuri watawaondoa.
Aidha amewataka wachezaji kuwajibika uwanjani ili wapate nafasi ya kucheza soka la kulipwa nje ya nchi.
Amesema ili mchezaji aweze kupata mafanikio ndani na nje ya nchi nidhamu, juhudi na kutambua wajibu wake katika klabu ndiyo jambo la muhimu.
Utovu wa nidhamu hauwezi kumfikisha mchezaji kokote zaidi kujenga chuki na mwalimu, viongozi na waamuzi uwanjani.

No comments :

Post a Comment