Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Monday, October 19, 2009

POOLTABLE KWENDA AFRIKA KUSINI KUSHIKRIKI MASHINDANI YA KIMATAIFA

Wachezaji wa timu ya taifa ya mchezo wa pool wakiwa wameshika bendera ta Tanzania baada ya kukabidhiwa Dar es salaam leo(Picha na Rajabu Mhamila Super D Mnyamwezi)
Mchezaji wa Timu ya taifa ya pool table na nahodha wa timu hiyo Aliakber Akberal akijaandaa kupiga mpira wakati waiagwa kwenda kwenye mashindano Afrika ya kusini yanayoanza kesho.(Picha na Rajabu Mhamila Super D Mnyamwezi)Mwanamziki wa bendi ya msondo ngoma Rashidi Mwezingo akijataarisha kupiga mpira wakati aliposhiriki mchezo wa pool table.(Picha na Rajabu Mhamila Super D Mnyamwezi)

No comments :

Post a Comment