Wachezaji wa timu ya taifa ya mchezo wa pool wakiwa wameshika bendera ta Tanzania baada ya kukabidhiwa Dar es salaam leo(Picha na Rajabu Mhamila Super D Mnyamwezi)
Mchezaji wa Timu ya taifa ya pool table na nahodha wa timu hiyo Aliakber Akberal akijaandaa kupiga mpira wakati waiagwa kwenda kwenye mashindano Afrika ya kusini yanayoanza kesho.(Picha na Rajabu Mhamila Super D Mnyamwezi)Mwanamziki wa bendi ya msondo ngoma Rashidi Mwezingo akijataarisha kupiga mpira wakati aliposhiriki mchezo wa pool table.(Picha na Rajabu Mhamila Super D Mnyamwezi)
BONDIA RAMADHANI MIGWENE AMUWEKEA MIKWALA ALBANO CLEMENT BAADA YA KUKIMBIWA
NA HABIBU PENGO
-
BONDIA RAMADHANI MIGWEDE baada ya kukimbiwa na mpinzani wake Habibu Pengo
aliesaini nae kuzipiga mara ya kwanza sasa amebadilishiwa mpinzani na
atacheza na...
2 years ago
No comments :
Post a Comment