Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Tuesday, October 27, 2009

TAIFA STARS YATANGAZWA, TAYARI KUIVAA MISRI

Kikosi cha wachezaji 31 kinachounda timua Taifa ya Tanzania Taifa Stars kimetangwazwa rasmi hii leo katika ukumbi wa Tff watakaokwenda Nchini Misri kucheza mchezo wa kimataifa wa kirafiki Novemba Tano mwaka huu nchini humo.
Akizungumzia utaratibu mzima wa utakaokuwepo mara baada ya kutangazwa majina ya wachezaji hao Katibu Mkuu wa Shirikisho la soka Nchini Tff Fredrick Mwakalebela amesema kambi ya timu hiyo itaingia rasmi Novemba moja mwaka huu.
Mwakalebela ameongeza kuwa TFF litaendelea kutafufa michezo mingi ya kirafiki ya kimataifa ili iweze kufanya vizuri ikiwa pamoja na kujiandaa na michuano ya Four National Tournament na kombe la Challenge.
Majina yaliyotangazwa ni pamoja na: -
Magolikipa
Ally Mustafa - Simba
Shabani DIhile - JKT Ruvu
Shabani Kado - Mtibwa
Mohammed Mwarami - Ferroviaro Maputo

Deffenders
Aggrey Morris - Azam
Shadrack Nsajigwa - Yanga
Erasto Nyoni - Azam
David Naftari - SImba
Nadir Haroub - Vancouver, Canada
Kevin Yondani - SImba
Salum Swedi - Azam
Juma Jabu - Simba
Steven Mwasika - Moro United

Midfielders
Nurdin Bakari - Yanga
Ibrahimu Mwaipopo - Azam
Juma Nyoso - SImba
Shamabi NDiti - Mtibwa Suger
Abdurahim Amour - Mtibwa
Henry Joseph - Kongsvinger, Norway
Rashid Gumbo - African Lyon
Mwinyi Kazimoto - JKT Tuvu
Kigi Makasi - Yanga
Nizar Khalfani - Vancouver,Canada
Saidi Mohammed - Moro United

Forwards
Mrisho Khalfani Ngasa - Yanga
Mbwana Samata - African Lyon
Mussa Hassan Mgosi - Simba
Dani Mrwanda - Simba
John Bocco - Azam
Jerson Tegete - Yanga
Zahoro Pazi - Mtibwa Suger

wachezaji waliyoitwa timu ya taifa toka timu ya taifa ya vijana chini ya miaka 20 na 17
Amani Kiata - Moro United U-20
Thabit - African Lyon U-17
Himid Mao - Azam FC U-20
Thomas Emmanuel - TSA U-20
Yusuf Abbas Soka - African Lyon U-20

No comments :

Post a Comment