Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Sunday, October 4, 2009

ROAD TO MAMA AFRIKA YA ZAIN, D BANJ AFANYA KWELI

Jamani jamani kumbe hadi mwanamuziki hufurahia kazi yake jukwaani eeehHawa ni mashabiki wakiruka debe LIVEHuyu mwenye Nyeupe ni D Banj akiwajibika.
AY ni moja ya wasanii wanaowania tuzo ya MTV
AY na hatua za jukwaani
Mwimbaji wa muziki wa kizaza kimpya nchini Abwene Yesai AY akiwajibika wakati wa onesho la Road to mama Tanzania iliyodhaminiwa na kampuni ya simu ya mkononi ya Zain Dar es salaam juzi.(Picha na Rajabu Mhamila)Wabongo hawakonyuma na hivi siku hizi simu zina videocamera full kurekodiProffesa Jay naye hakuwa nyuma kuwarussha mashabiki wa muziki wa kizazi kipya, kweli jamaa sasa kawa Daddywatu weeeewe Jay wamitulingaShaa naye hakusita kuwathibitishia mashabiki kwmaba huu ni wakati wake.

No comments :

Post a Comment