Jamani jamani kumbe hadi mwanamuziki hufurahia kazi yake jukwaani eeehHawa ni mashabiki wakiruka debe LIVEHuyu mwenye Nyeupe ni D Banj akiwajibika.
AY ni moja ya wasanii wanaowania tuzo ya MTV
AY na hatua za jukwaani
Mwimbaji wa muziki wa kizaza kimpya nchini Abwene Yesai AY akiwajibika wakati wa onesho la Road to mama Tanzania iliyodhaminiwa na kampuni ya simu ya mkononi ya Zain Dar es salaam juzi.(Picha na Rajabu Mhamila)Wabongo hawakonyuma na hivi siku hizi simu zina videocamera full kurekodiProffesa Jay naye hakuwa nyuma kuwarussha mashabiki wa muziki wa kizazi kipya, kweli jamaa sasa kawa Daddywatu weeeewe Jay wamitulingaShaa naye hakusita kuwathibitishia mashabiki kwmaba huu ni wakati wake.
BONDIA RAMADHANI MIGWENE AMUWEKEA MIKWALA ALBANO CLEMENT BAADA YA KUKIMBIWA
NA HABIBU PENGO
-
BONDIA RAMADHANI MIGWEDE baada ya kukimbiwa na mpinzani wake Habibu Pengo
aliesaini nae kuzipiga mara ya kwanza sasa amebadilishiwa mpinzani na
atacheza na...
2 years ago
No comments :
Post a Comment