Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Saturday, October 24, 2009

SIMBA MBELE KWA MBELE

Mnyama anaetisha mwituni pengine kuliko wanyama wote Simba ameendeleza makali ya makucha yake baada ya kuizaba klabu ya lambalamba wa Azam bao 1-0 katika mchezo wa ligi kuu Tanzania bara uliyochezwa leo katika uwanja wa Uhuru.
Goli hilo la dhahabu lilipatikana katika dakika ya 24 ikiwa ni goli la kujifunga kufuatia mpira wa kona uliyopigwa na Hillary Echesa na kumgonga Henry Morris katika kipindi cha kwanza.
Hata hivyo klabu ya Simba imeondoka muda mchache baada ya kumalizika kwa ndege kurejea visiwani Zanzibar kuendelea na maandalizi ya mchezo dhidi ya Yanga hapo Oktoba 31, mchezo utakaochezwa uwanja wa Uhuru.
Simba sasa imefikisha pointi 27 ikiwa ndiyo inaongoza katika ligi kuu Tanzania Bara, ikifuatiwa na Mtibwa yenye Pointi 18.
HIVI NDIVYO ILIVYOKUWA UWANJANI
HUYU NI MGOSI AKIWAJIBIKAHUYU NI HARUNA MOSHI "BOBAN" AKIWATOKA MABEKI WA AZAM FCHEBU MDAU NAWEWE SEMA SASA HUYU ANAMSHIKA WAPI MWENZIYE?JAMAA BADO KANG`ANG`ANIA HAPO HAPO TU...!!!

No comments :

Post a Comment