Mnyama anaetisha mwituni pengine kuliko wanyama wote Simba ameendeleza makali ya makucha yake baada ya kuizaba klabu ya lambalamba wa Azam bao 1-0 katika mchezo wa ligi kuu Tanzania bara uliyochezwa leo katika uwanja wa Uhuru.
Goli hilo la dhahabu lilipatikana katika dakika ya 24 ikiwa ni goli la kujifunga kufuatia mpira wa kona uliyopigwa na Hillary Echesa na kumgonga Henry Morris katika kipindi cha kwanza.
Hata hivyo klabu ya Simba imeondoka muda mchache baada ya kumalizika kwa ndege kurejea visiwani Zanzibar kuendelea na maandalizi ya mchezo dhidi ya Yanga hapo Oktoba 31, mchezo utakaochezwa uwanja wa Uhuru.
Simba sasa imefikisha pointi 27 ikiwa ndiyo inaongoza katika ligi kuu Tanzania Bara, ikifuatiwa na Mtibwa yenye Pointi 18.
HIVI NDIVYO ILIVYOKUWA UWANJANI
HUYU NI MGOSI AKIWAJIBIKAHUYU NI HARUNA MOSHI "BOBAN" AKIWATOKA MABEKI WA AZAM FCHEBU MDAU NAWEWE SEMA SASA HUYU ANAMSHIKA WAPI MWENZIYE?JAMAA BADO KANG`ANG`ANIA HAPO HAPO TU...!!!
BONDIA RAMADHANI MIGWENE AMUWEKEA MIKWALA ALBANO CLEMENT BAADA YA KUKIMBIWA
NA HABIBU PENGO
-
BONDIA RAMADHANI MIGWEDE baada ya kukimbiwa na mpinzani wake Habibu Pengo
aliesaini nae kuzipiga mara ya kwanza sasa amebadilishiwa mpinzani na
atacheza na...
2 years ago
No comments :
Post a Comment