Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Sunday, October 25, 2009

WATEJA WA VODACOM KUONGEA BURE KUPITIA CHEKA TIME

mkuu wa kitengo cha udhamini wa Vodacom George Rwehumbiza, mkuu wa kitengo cha huduma na bidhaa Boniface Emmanuel, mkuu wa mawasiliano Vodacom Mwamvita Makamba na Ofisa bidhaa wa Vodacom Elihuruma Ngowi wakiwa wameshikilia vipeperushi katika uzinduzi wa huduma ya CHEKA TIME ambapo mteja wa Vodacom atakatwa shilingi 500 na kuweza kupiga simu dakika 60.Ili mteja aweze kupata huduma hiyo atalazimika kujiunga kwa kupiga *147# na mteja anaweza kujisajili mara nyingi ili aweze kupata muda wa maengezi kadri atakavyo.
Huduma hii imezinduliwa jijini Dar es Salaam leo.Picha na Rajabu Mhamila a.k.a Super D

No comments :

Post a Comment